Kurasa

EDA - Hikma Yake, Hukmu Zake, Yanayopasa Na Yasiyopasa

Eda ni kipindi anachokaa mwanamke aliyeachika au aliyefiwa na mumewe, na baada ya kipindi hicho ndoa yake huwa halali. Na imeitwa eda kwa jina hili kutokana na jina la kiarabu  ‘iddah’ kwa kukusanya kwake (idadi) ya miezi au ‘quruu’ [1] au hedhi au vipindi vya tohara ya hedhi.



HEKIMA YA KUHALALISHWA EDA

Hapa tunaona baadhi ya

Kunyoooka Katika Tawhiyd Ni Sababu Ya Kupata Husnul-Khaatimah

Muislamu anapothibitika katika iymaan na taqwa, hubashiriwa Jannah wakati anapofikwa na mauti:  Allaah (Subhaanahu wa Ta’aalaa) Anasema:

إِنَّ الَّذِينَ قَالُوا رَبُّنَا اللَّـهُ ثُمَّ اسْتَقَامُوا تَتَنَزَّلُ عَلَيْهِمُ الْمَلَائِكَةُ أَلَّا تَخَافُوا وَلَا تَحْزَنُوا وَأَبْشِرُوا بِالْجَنَّةِ الَّتِي كُنتُمْ تُوعَدُونَ ﴿٣٠﴾ نَحْنُ أَوْلِيَاؤُكُمْ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَفِي الْآخِرَةِ ۖ وَلَكُمْ فِيهَا مَا تَشْتَهِي أَنفُسُكُمْ وَلَكُمْ فِيهَا مَا تَدَّعُونَ ﴿٣١﴾ نُزُلًا مِّنْ غَفُورٍ رَّحِيمٍ ﴿٣٢﴾
Hakika wale waliosema: “Rabb (Mola) wetu ni Allaah.” Kisha wakanyooka; Malaika huwateremkia (wakati wa kutolewa roho kuwaambia) kwamba: “Msikhofu, na wala msihuzunike, na pokeeni bishara njema ya Jannah ambayo mlikuwa mkiahidiwa (kwayo). “Sisi ni marafiki walinzi wenu katika uhai wa dunia na katika Aakhirah. Na mtapata

Historia Fupi Ya Al-Ka'abah

Yaliyomo

Nabii Ibraahiym (‘Alayhis salaam) anawasili Misri
Anarudi kwao
Anawasili Makkah
Anaamrishwa amchinje mwanawe
Mama yake Ismaa’iyl na kisima cha Zamzam
Watu wa kabila la Jurhum
Mwambie abadilishe kizingiti
Wananyanyua nguzo za Msikiti
Kisa cha Watu wa ndovu (As habul fiyl)
Kuujenga upya Al-Ka’abah
Wanaishiwa na pesa za halali
Mara ngapi umebomolewa na kujengwa upya?
Inajengwa tena
Hitimisho


Nabii Ibraahiym (‘Alayhis salaam) alizaliwa katika mji unaoitwa Aar uliopo kandokando ya mto wa Furaat (Euphrates) Al Kufa - Iraq.

Mambo Yanayomtoa Mtu Katika Uislam

Jua ya kwamba mambo yanayomtoa Muislamu katika Uislamu ni mambo kumi :
Moja: Ni kumshirikisha Allaah Aliyetukuka katika ibada, Anasema Allaah:
“Hakika Allaah Hasamehi kushirikishwa na Anasamehe yasiyokuwa hayo kwa Amtakaye” (An-Nisaa: 116)
Na Anasema Allaah:

Misingi Minne Muhimu Katika Uislamu

Namuomba Allaah Mtukufu, Mola wa 'Arshi kubwa Akutawalishe katika dunia na Akhera na Akufanye wewe uwe mwenye baraka popote utakapokuwa na Akufanye wewe uwe miongoni mwa wale wanapopewa wanashukuru, na wanapopewa mitihani wanasubiri, na wanapofanya madhambi huomba msamaha, hakika haya mambo matatu ni anwani ya kufaulu.