Eda ni kipindi anachokaa mwanamke aliyeachika au aliyefiwa na mumewe, na baada ya kipindi hicho ndoa yake huwa halali. Na imeitwa eda kwa jina hili kutokana na jina la kiarabu ‘iddah’ kwa kukusanya kwake (idadi) ya miezi au ‘quruu’ [1] au hedhi au vipindi vya tohara ya hedhi.
HEKIMA YA KUHALALISHWA EDA
Hapa tunaona baadhi ya
MUHAJIR KIJANA
Kunyoooka Katika Tawhiyd Ni Sababu Ya Kupata Husnul-Khaatimah
Muislamu
anapothibitika katika iymaan na taqwa, hubashiriwa Jannah wakati
anapofikwa na mauti: Allaah (Subhaanahu wa Ta’aalaa) Anasema:
إِنَّ
الَّذِينَ قَالُوا رَبُّنَا اللَّـهُ ثُمَّ اسْتَقَامُوا تَتَنَزَّلُ
عَلَيْهِمُ الْمَلَائِكَةُ أَلَّا تَخَافُوا وَلَا تَحْزَنُوا وَأَبْشِرُوا
بِالْجَنَّةِ الَّتِي كُنتُمْ تُوعَدُونَ ﴿٣٠﴾ نَحْنُ أَوْلِيَاؤُكُمْ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَفِي الْآخِرَةِ ۖ وَلَكُمْ فِيهَا مَا تَشْتَهِي أَنفُسُكُمْ وَلَكُمْ فِيهَا مَا تَدَّعُونَ ﴿٣١﴾ نُزُلًا مِّنْ غَفُورٍ رَّحِيمٍ ﴿٣٢﴾
Hakika wale waliosema: “Rabb (Mola)
wetu ni Allaah.” Kisha wakanyooka; Malaika huwateremkia (wakati wa
kutolewa roho kuwaambia) kwamba: “Msikhofu, na wala msihuzunike, na
pokeeni bishara njema ya Jannah ambayo mlikuwa mkiahidiwa (kwayo). “Sisi
ni marafiki walinzi wenu katika uhai wa dunia na katika Aakhirah. Na mtapata
Historia Fupi Ya Al-Ka'abah
Yaliyomo
Nabii Ibraahiym (‘Alayhis salaam) anawasili Misri
Anarudi kwao
Anawasili Makkah
Anaamrishwa amchinje mwanawe
Mama yake Ismaa’iyl na kisima cha Zamzam
Watu wa kabila la Jurhum
Mwambie abadilishe kizingiti
Wananyanyua nguzo za Msikiti
Kisa cha Watu wa ndovu (As habul fiyl)
Kuujenga upya Al-Ka’abah
Wanaishiwa na pesa za halali
Mara ngapi umebomolewa na kujengwa upya?
Inajengwa tena
Hitimisho
Nabii Ibraahiym (‘Alayhis salaam) alizaliwa katika mji unaoitwa Aar uliopo kandokando ya mto wa Furaat (Euphrates) Al Kufa - Iraq.
Misingi Minne Muhimu Katika Uislamu
Namuomba
Allaah Mtukufu, Mola wa 'Arshi kubwa Akutawalishe katika dunia na
Akhera na Akufanye wewe uwe mwenye baraka popote utakapokuwa na Akufanye
wewe uwe miongoni mwa wale wanapopewa wanashukuru, na wanapopewa
mitihani wanasubiri, na wanapofanya madhambi huomba msamaha, hakika haya
mambo matatu ni anwani ya kufaulu.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)