Kurasa

VIDEO:Mashambulio ya Al-Shabab yaathiri vibaya hali nchini Kenya.



Mashambulio kadhaa yaliofanywa na vikosi vya Harakat Al-Shabab Al Mujahideen ndani ya Ardhi ya Kenya yameathiri pakubwa hali ya Wananchi wa Kinasara wa nchi hiyo.



Kuna hali mbaya ndani ya Serikali ya Uhuru Kenyatta baada ya kufukuzwa kazi Waziri wa Masuala ya ndani pamoja na Kamishna mkuu wa Polisi wa nchi hiyo David Kimaiyo. 



Wachambuzi wa masuala ya Kenya wanaeleza kuwa mashambulio ya Al-Shabab hayawezi kusimama kwa kufutwa kazi Waziri bali Uhai wa Wananchi wa Kenya iko kwa kuondolewa kwa Wanajeshi wao walioko Ardhi ya Somalia.

Tizama hapa chini Video iliyoandaliwa na Al Jazeera

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni